![]() |
Mabaki ya ndege yakiteketea eneo la ajali |
Ndege hiyo aina ya PK-661, ilipoteza mawasiliano na mnara wa waelekezi wa ndege ilipokuwa ikitoka Chitral ikielekea Islamabad muda mfupi baada ya kupaa angani,'' shirika hilo limesema katika taarifa yake.
Ndege hiyo ya taifa imelaumiwa kwa kukosa kuimarisha usalama kwa siku za hivi karibuni.
Ajali kubwa ilitokea mwaka 2006 iliowaua watu 44.
Ndege hiyo ilianguka katika eneo la Havelian, karibu kilomita 70 (maili 43) kaskazini mwa Islamabad kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo.
0 on: " Ndege yaanguka ikiwa na abiria 48 Pakistan "