visitors

display number of visitors

Blog Archive

Theme images by Storman. Powered by Blogger.

Friday, November 25, 2016

Europa: Man U yashinda 4-0 dhidi ya Feyenoord


Mchezaji wa Manchester United Wayne Rooney amevunja rekodi kama ya magoli 39 barani Ulaya baada ya kuwashinda Feyenoord 4-0 katika mchezo wa ligi ya Europa.
Ushindi huu umeiweka Man u katika nafasi ya pili na alama 9 kwenye kundi A ikiwa nyuma ya Fernabache kwa alama moja.
Meneja wa Man U Jose Mourinho amesema kamwe milele Rooney atabaki kuwa Rooney.
Mchezo unaofuata Manchester United itamenyana na Zorya Luhansk huku ikihitaji alama moja pekee kusonga mbele

Msimamo wa Kundi A 

Matokeo mengine

Fenerbahçe 2-0 Zorya Luhansk
Hapoel Be'er Sheva 3-2 Inter Milan
Sparta Prague 1-0 Southampton
Dundalk 0-1 AZ Alkmaar
Zenit Saint Petersburg 2-0 Maccabi Tel-Aviv
FK Qabala 1-3 Anderlecht
FC Astana 2-1 Apoel Nicosia
FK Krasnodar 1-1 FC Red Bull Salzburg
FC Zürich 1-1 Villarreal
FC Steaua București 2-1 Osmanlispor
FC Slovan Liberec 3-0 FK Qarabag

0 on: " Europa: Man U yashinda 4-0 dhidi ya Feyenoord "