Watu waliouawa katika jimbo la Kivu kaskazini, walikuwa wa kabila la Hutu - washindani wa miaka mingi na wa-Nande, mashariki mwa Congo.
Watu waliuliwa kwa mapanga.
Eneo la mashariki mwa Congo lina utajiri wa madini, na mizozo mingi hutokea, na mingi hufanywa na wanamgambo wa makabila ya huko.
No comments:
Post a Comment